در آن روز، [همۀ مردم] بدون هیچ مخالفتی از دعوتکنندۀ [الهى] پیروی میکنند و صداها در مقابل [الله] رحمان به خاموشی میگراید و جز صدایی آهسته [و زیر لب، چیزى] نمىشنوى.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Katika siku hiyo, watu wataifuata sauti ya mlinganizi kuelekea kwenye kisimamo cha Kiyama, hakuna njia ya kuepuka ulinganizi wa mwenye kulingania, kwani huo ni haki na kweli kwa viumbe wote. Hapo sauti zitatulia kwa kumnyenyekea Mwingi wa rehema, hutasikia kutoka kwao isipokuwa sauti ya ndani isiyosikika.