[مشرکان با این تصور که فرشتگان دخترانِ الله هستند] گفتند: «[الله] رحمان فرزندی [برای خویش] برگزیده است». او منزّه است؛ [چنین نیست که میپندارند؛] بلکه [فرشتگان] بندگان گرامی[اش] هستند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na washirikina walisema, «Mwenyezi Mungu Amejifanyia mtoto» kwa madai yao kwamba Malaika ni watoto wa kike wa Mwenyezi Mungu. Ametakasika Mwenyezi Mungu na hilo! Malaika ni waja wa Mwenyezi Mungu waliokurubishwa waliohusishwa kwa kupewa matukufu,