And this ˹Quran˺ is a blessed reminder which We have revealed. Will you ˹pagans˺ then deny it?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na hii Qur’ani ambayo Mwenyezi Mungu Ameiteremsha kwa Mtume Wake Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukliye, ni ukumbusho kwa anayejikumbusha nayo na akatekeleza amri Zake na akajiepusha na makatazo Yake, ina kheri nyingi na manufaa makubwa. Je, mnaikanusha na hali ina upeo wa uwazi na ufunuzi.