پیش از آنان [نیز ساکنان هر] شهری که نابودش میکردیم [به آیات و معجزاتِ ما] ایمان نیاورده بودند. پس آیا [اینها] ایمان میآورند؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakuna mji wowote ulioamini kabala ya makafiri wa Makkah ambao watu wake walitaka miujiza kutoka kwa Mtume wao na ikatokea kweli, bali walikanusha na tukawaangamiza. Basi je, makafiri wa Makkah wataamini iwapo itakuwa miujiza waliyoitaka? Sivyo, wao hawataamini.