و [مردم] هر شهری را که [بر اثر کفر و گناه] نابودش کردیم، محال است که [بتوانند به قصدِ توبه به دنیا] بازگردند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Haiwezekani kwa watu wa miji tuliyoiangamiza, kwa sababu ya ukanushaji wao na dhulma zao, kurudi duniani kabla ya Siku ya Kiyama ili kurakibisha kasoro zao ambazo walikuwa nazo.