روزی که [کافران] فرشتگان را میبینند، هیچ بشارتی برای مجرمان نخواهد بود [بلکه روز کیفر و عذاب است]؛ و [فرشتگان] میگویند: «[بهشت] بر شما ممنوع [و حرام] است».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Siku watakapowaona Malaika wakati wa kufa kwao, na wakiwa ndani ya makaburi yao na Siku ya Kiyama, kwa sura ambazo sizo zile walizozitaka, sio kuwapa bishara ya Pepo, lakini kuwaambia, «Mwenyezi Mungu Ameifanya Pepo ni mahali palipoharamishwa kwenu.»