و گفتیم: «شما دو نفر به سوی قومی بروید که آیات ما را تکذیب کردند»؛ پس [چون فرعونیان سرپیچی نمودند] آنان را به شدت نابود ساختیم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
na tukawaambia wao wawili,»Endeni kwa Fir’awn na watu wake waliozikanusha dalili za uola[ wetu na uungu wetu.» Basi wakawaendea na wakawalingania wamuamini Mwenyezi Mungu, wamtii na wasimshirikishe. Wakawakanusha, na kwa hivyo tukawaangamiza maangamivu makubwa.