و قوم نوح را ـ آنگاه که پیامبران را دروغگو انگاشتند ـ غرق کردیم و آنان را [نشانه و] عبرتی برای مردم قرار دادیم؛ و عذابی دردناک برای ستمکاران مهیّا کردهایم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na tuliwazamisha watu wa Nūḥ kwa mafuriko walipomkanusha. Na mwenye kumkanusha Mtume yoyote huwa amewakanusha Mitume wote. Na tulikufanya kule kuwazamisha ni mazingatio kwa watu. Na tutawapatia wao na wale waliofuata njia yao katika kukanusha, Siku ya Kiyama, adhabu yenye kuumiza.