و [مشرکان] قطعاً از [سرزمین قوم لوط، همان] شهری که باران بلا بر آن باریده بود گذر کردهاند. آیا آن [ویرانههای باقیمانده از عذاب] را ندیدهاند؟ [چنین نیست؛] بلکه به زنده شدن [پس از مرگ] امیدی ندارند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na washirikina wa Makkah walikuwa wakikipitia kijiji cha watu wa Lūṭ katika safari zao, nacho ni kijiji cha Sadūm ambacho kiliangamizwa kwa mawe kutoka mbinguni, wasizingatie kwa hilo, bali walikuwa hawatazamii kuwa kuna marejeo Siku ya Kiyama ambapo wao watalipwa.