آیا [آفرینش] پروردگارت را ندیدهای که چگونه سایه را گسترانده است و اگر میخواست، آن را ثابت مینمود؟ آنگاه [تغییر جایگاه] خورشید [نسبت به زمین] را دلیل [گسترش و حركت] آن [سایه] قرار دادیم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kwani huoni vipi Mwenyezi Mungu Alivyokinyosha kivuli kuanzia kutokea alfajiri mpaka kutokea jua? Na lau Mwenyezi Mungu Alitaka Angalikifanya kisimame na kitulie, kisiondolewe na jua kisha tungalilifanya jua kuwa ni alama ambayo kwa hali zake inachukuliwa dalili ya hali za kivuli.