به موسی وحی کردیم: «عصایت را به دریا بزن»؛ [هنگامی که عصایش را زد، دریا] شکافته شد و هر بخشی [از آن،] همچون کوهی بزرگ گشت.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hapo tukampelekea wahyi Mūsā kwamba, «Piga bahari kwa fimbo yako!» Akapiga. Na bahari ikapasuka njia kumi na mbili kwa idadi ya kabila za Wana wa Isrāīl. Na kila kipande kilichojitenga na bahari ni kama jabali kubwa.