هنگامی که [فرستادۀ ملکه] نزد سلیمان آمد، [سلیمان] گفت: «آیا [میخواهید] با مال [و ثروت] به من کمک کنید؟ آنچه الله [از پیامبری و دانش و فرمانروایی] به من بخشیده، از آن چیزی که به شما عطا کرده بهتر است؛ بلکه شمایید که به هدیۀ خویش [و ثروتهای دنیا] شادمان میشوید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mjumbe wa malkia alipokuja na tunu kwa Sulaymān, alisema Sulaymān, akilikataa hilo na akizungumzia neema za Mwenyezi Mungu juu yake, «Mnanipatia mali ili kuniridhisha? Yale aliyonipa Mwenyezi Mungu ya unabii, ufalme na mali mengi ni mazuri zaidi na ni bora zaidi kuliko hayo Aliyowapa nyinyi, bali nyinyi ndio mnaofurahia tunu mnayotunukiwa, kwa kuwa nyinyi ni watu wa kuonyeshana kwa kujifahiri na dunia na kuipapia kwa wingi.»