در حقیقت، این را به ما و پیش از این به پدرانمان [نیز] وعده دادهاند. این [سخن، چیزی] نیست، مگر افسانههای [خیالی] پیشینیان».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Tuliahidiwa kufufuliwa huku, sisi na wazazi wetu, hapo kabla(tulipokuwa duniani) hatukuuona uhakika wake wala kutokea kwake. Hatukuona ahadi hii isipokuwa ni hadithi za urongo zilizozuliwa na kuandikwa na watu wa kale ndani ya vitabu vyao.