و چون موسی به رشد و كمال خویش رسید و برومند شد، به او حکمت و دانش [آیین بنیاسرائیل را] عطا كردیم و نیكوكاران را اینچنین پاداش مىدهیم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Alipofikia Mūsā umri wa kuwa na nguvu na ikakamilika akili yake, tulimpa busara na elimu ya kujulia hukumu za Sheria. Na kama tulivyompa Mūsā malipo mema kwa utiifu wake na wema wake, tunampa malipo mema mwenye kufanya wema miongoni mwa waja wetu.