موسی به [گوسفندان] آن دو زن آب داد؛ آنگاه به سوی سایه بازگشت و گفت: «پروردگارا، به هر خیری که برایم بفرستی، سخت نیازمندم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi Mūsā akawachotea maji wanyama wa wale wanawake wawili, kisha akageuka kwenda kwenye kivuli cha mti kujifinika nacho na akasema, «Mola wangu! Hakika mimi ni mhitaji wa wema wako wowote ule utakaoniletea,» kama vile chakula. Na njaa ilikuwa imemshika sana.