We caused a curse to follow them in this world. And on the Day of Judgment they will be among the outcasts.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na tukamfuatilizia Fir’awn na watu wake laana na hasira kutoka kwetu juu yao. Na Siku ya Kiyama, wao watakuwa ni miongoni mwa wale ambao matendo yao yalikuwa yamechafuka, wale watakaowekwa mbali na rehema ya Mwenyezi Mungu.