و تو [ای پیامبر،] آنگاه که فرمان [نبوت] را به موسی میدادیم در دامنۀ غربی [کوه طور] حضور نداشتی و از گواهان [نیز] نبودی.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na hukuwako, ewe Mtume, upande wa jabali la jua la kuchwa wa Mūsā, tulipombebesha maamrisho yetu na makatazo yetu, na hukuwa ni kati ya wale waliolishuhudia hilo mpaka kusemwe kwamba habari hii imekufikia kwa njia hii.