As for those who repent, believe, and do good ˹in this world˺, it is right to hope that they will be among the successful.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ama yule aliyetubia kati ya washirikina na akamtakasia Mwenyezi Mungu ibada na akafanya matendo yanayoambatana na amri Yake na Mtume Wake, yeye ni katika wale wanaofuzu katika Nyumba Mbili.