و معبود دیگری با الله [به نیایش] نخوان. هیچ معبودی [بهحق] جز او نیست. همه چیز فناپذیر است؛ مگر [ذات جاوید و] روی او. فرمانروایی [تنها] از آنِ اوست و [روز قیامت، همگی] به پیشگاه او تعالی بازگردانده میشوید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wala usiabudu, pamoja na Mwenyezi Mungu, muabudiwa mwingine. Hapana muabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu. Kila kitu ni chenye kuangamia na kutoeka isipokuwa uso Wake. Uamuzi ni Wake. Na Kwake Yeye mutarudishwa baada ya kufa kwenu ili muhesabiwe na mulipwe. Katika aya hii kuna kuthibitisha sifa ya uso wa Mwenyezi Mungu, aliyetukuka, kama inavyonasibiana na ukamilifu Wake, ukubwa Wake na utukufu Wake.