و اگر از آنان [= مشرکان] بپرسی: «چه کسی آسمانها و زمین را آفریده و خورشید و ماه را به خدمت [انسان] گماشته است؟» مسلّماً میگویند: «الله»؛ پس چگونه [از حق] رویگردان میشوند؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na ukiwauliza, ewe Mtume, hao washirikina,»Ni nani aliyeumba mbingu na ardhi kwa mpango huu mzuri na akalidhalilisha jua na mwezi?» Watasema, «Aliyeviumba hivyo ni Mwenyezi Mungu Peke Yake.» Basi vipi wao watapotoshwa waache kumuamini Mwenyezi Mungu, Muumba na Muendeshaji wa kila kitu, na wakawa wanamuabudu asiyekuwa Yeye? Basi uonee ajabu uzushi wao na urongo wao!