و [اهل کتاب] گفتند: «یهودی یا نصرانی شوید تا هدایت یابید». [ای پیامبر، به آنان] بگو: «[نه از آیین شما] بلکه از آیین ابراهیم [پیروی میکنیم] که حقگرا بود و هرگز در زمرۀ مشرکان نبود».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Mayahudi walisema kuwaambia ummah wa Mtume Muhammad, rehema za Mwenyezi Mungu na amani zimshukie yeye, “Ingieni kwenye dini ya Kiyahudi mtapata uongofu. Na Wanaswara waliwaambia kama hayo. Waambie, ewe Mtume, “Uongofu ni kuwa sote tufuate Mila ya Ibrāhīm ambaye alijiepusha na kila dini ya ubatilifu na kufuata Dini ya haki, na hakuwa ni miongoni mwa waliomshirikisha Mwenyezi Mungu Aliyetukuka.”