و هنگام ملاقات با مؤمنان میگویند: «ما [نیز همچون شما] ایمان آوردهایم» و هنگامی که با بزرگان شیطانصفتِ خود خلوت میکنند میگویند: «ما با شما هستیم و فقط [آنان را] مسخره میکنیم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hawa wanafiki wakikutana na waumini huwa wakisema, “Tumeiamini Dini ya Uislamu kama nyinyi,” na wakiondoka kwenda kwa viongozi wao makafiri wasiomjalli Mwenyezi Mungu, huwa wakiwahakikishia kuwa wao wako kwenye mila ya ukafiri, hawajaiacha, na kuwa wao walikuwa wakiwacheza shere waumini.