و قطعاً شما را با چیزی از [قبیل] ترس و گرسنگی [= قحطی] و زیان مالی [= نابودی یا دشواریِ کسبِ آن] و جانی [= مرگ و میر یا شهادت] و زیان محصولات [کشاورزی] میآزماییم؛ و [ای پیامبر،] شکیبایان را [به آنچه در دنیا و آخرت برایشان فراهم میآید] بشارت بده؛
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Tutawapa, tena tutawapa, mtihani wa kitu hafifu cha hali ya kuogopa, njaa, upungufu wa mali, iwe ni uzito kuyapata au yaondoke, upungufu wa watu: kwa kufa au kufa-shahidi katika njia ya Mwenyezi Mungu, na kwa upungufu wa matunda ya mitende na mizabibu na nafaka: kwa kupungua mazao yake au kuharibika kwake.Wape, ewe Nabii, habari njema, wale wenye subira juu ya haya na mfano wake, kwa yale yatakayowafurahisha na kuwapendeza ya mwisho mwema duniani na Akhera.