ای مردم، از آنچه در زمین است حلال و پاکیزه بخورید و از [راهها و] گامهای شیطان [که به وسیلۀ آنها به تدریج شما را به سوی عذاب میکشد] پیروی نکنید که به راستی او دشمن آشکارِ شماست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Enyi watu, kuleni katika riziki ya Mwenyezi Mungu, iliyoko kwenye ardhi, ile ambayo Amewahalalishia nyinyi, nayo ni iliyo tohara isiyokuwa najisi, inayonufaisha isiyodhuru wala msifuate njia za Shetani katika kuhalalisha, kuharamisha, uzushi na maasia. Hakika Yeye ni adui yenu mwenye uadui uliyo wazi.