مَثَل [دعوت تو ـ ای محمد ـ برای هدایتِ این] کافران، همچون کسی است که چهارپایی را صدا میزند ولی آن [چهارپا] چیزی جز صدا و آوایی نمیشنود؛ [و حقیقت آن را درک نمیکند. این کافران نیز چنیناند که در مواجهه با حق،] کر و لال و کور هستند و از این رو نمیاندیشند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na sifa za waliokufuru na wale walinganizi wao katika uongofu na imani ni kama sifa ya mchunga anayewapigia kelele wanyama na kuwakaripia, hali wao hawaelewi maana ya maneno yake isipokuwa wanasikia mwito na mlio wa sauti tu. Makafiri hao ni viziwi wameziba masikizi yao wasisikie haki, ni mabubu wamezifunga ndimi zao wasiitamke haki, ni vipofu macho yao hayazioni hoja za haki zilizo wazi. Kwa hivyo, wao hawatumii akili zao kwa mambo yenye kuwafaa.