اما کسی که از بیعدالتی [و تمایل بیجای] وصیتکننده [نسبت به بعضی ورثه] یا از گناه او [در وصیت نامشروع] بترسد و [با اصلاحِ وصیت] میان آنان [= وارثان]، سازش برقرار کند، بر او گناهی نیست [و مشمولِ حکم تبدیلِ وصیّت نمیباشد]. همانا الله آمرزندۀ مهربان است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi yoyote atakayejua kuwa mwenye kuusia amepinduka, kwa kuiacha haki katika wasia wake kwa njia ya kukosea au kukusudia, akamnasihi mtoaji wasia, wakati wa kutoa wasia, afanye uadilifu, na iwapo hilo halikuwa akaleta upatanishi kati ya pande zinazohusika kwa kugeuza wasia ili ulingane na Sheria, basi atakuwa hana dhambi katika kupatanisha huku. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kuwasamehe waja wake, ni Mwenye huruma kwao.