و هنگامی که به او گفته میشود: «از الله بترس»، خودبزرگبینی [و غرور] او را به [استمرار بر انجام] گناه میکشانَد؛ پس [آتش] جهنم برایش کافی است و چه بد جایگاهی است!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na anaponasihiwa mnafiki huyo mharibifu na akaambiwa, «Mche Mwenyezi Mungu,ujihadhari na adhabu Yake na ukomeke na kuleta uharibifu katika ardhi,» huwa hakubali nasaha. Bali kile kiburi chake na mori wa kijinga humfanya kutenda maovu zaidi. Basi adhabu yenye kumtosheleza yeye na kumkifu ni Jahanamu. Na hakika uovu wa tandiko ndilo hilo.