آیا انتظارِ [پیروان شیطان] غیر از این است که الله [در روز قیامت، برای داوری] در سایبانهایی از ابرها به سویشان بیاید و فرشتگان [نیز برای اجرای عذاب الهی آنان را احاطه کنند] و کار یکسره شود؟ و [آگاه باشید كه همۀ] کارها به سوی الله بازگردانده میشود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hawangojei hawa wakaidi wenye kukanusha, baada ya kusimama dalili wazi, isipokuwa Awajie Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kushinda, kwa namna inayolingana na Yeye, Aliyetakasika na kila sifa mbaya, katika vivuli vya Mawingu Siku ya Kiyama ili Aamue baina yao kwa hukumu adilifu, na waje Malaika. Wakati huo, Atahukumu Mwenyezi Mungu, kati yao, hukumu Yake. Na kwake Yeye Peke Yake hurudishwa mambo yote ya viumbe.