کیست که به الله قرض دهد؛ قرضی نیکو [و از اموالش در راه خشنودیِ پروردگار انفاق کند] تا [الله] آن را برایش چندین برابر کند؟ و الله است که [از روی حکمت و عدالت، در روزیِ بندگانش] تنگی و گشایش پدید میآورد؛ و [همگی در آخرت] به سوی او بازگردانده میشوید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ni yupi ambaye atatoa katika njia ya Mwenyezi Mungu, kutoa kuliko kuzuri kwa kutarajia malipo, Mwenyezi Mungu Apate kumuongezea nyongeza nyingi zisizohesabika za thawabu na malipo mema? Hakika Mwenyezi Mungu Anazuia na Anatoa. Kwa hivyo, toeni wala msijali, kwani Yeye Ndiye Mruzuku, Anambana Anayemtaka, miongoni mwa waja Wake, katika riziki na Anaikunjua, hiyo riziki, kwa wengine. Ana hekima kubwa katika hayo. Na Kwake Yeye Peke Yake mtarudi baada ya kufa, na hapo Atawalipa kwa vitendo vyenu.