شیطان، شما را [به هنگام انفاق میترساند و] وعدۀ فقر [و تنگدستی] میدهد و شما را به زشتیها [= ارتکاب گناه] امر میکند؛ ولی الله از جانب خود به شما وعدۀ آمرزش و افزونی [نعمت] میدهد و الله گشایشگرِ داناست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Uchoyo huu na kuchagua kibaya kukitoa sadaka yatokana na Shetani ambaye anawaogopesha nyinyi ufukara na kuwahimiza uchoyo, na anawaamrisha nyiyi maasia na kumfanyia kinyume Mwenyezi Mungu Aliyetukuka. Na Mwenyezi Mungu, Aliyetakata na kutukuka, Anawaahidi nyinyi, kwa kutoa kwenu, msamaha wa madhambi yenu na riziki kundufu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nyongeza zenye kuenea, ni Mjuzi wa nia na vitendo.