و اگر [شخصِ بدهکار،] تنگدست بود، تا [هنگام] گشایش [و تواناییِ بازپرداخت، به او] مهلت دهید و [اگر توانایی پرداخت نداشت،] بخشیدن آن [بدهی] برایتان بهتر است، اگر [ثواب این کار را] بدانید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na iwapo mdaiwa hawezi kulipa, mpeni muhula mpaka Mwenyezi Mungu Atakapomfanyia sahali riziki na kuwarudishia mali yenu. Na mkiacha rasilmali yote au baadhi yake mkamuondolea mdaiwa, hilo ni bora zaidi kwenu, mkiwa mnajua fadhila yake ya kuwa hilo ni bora kwenu katika ulimwengu na Akhea.