و [به یاد آورید] هنگامی که شخصی را کشتید و دربارۀ [قاتلِ] او به نزاع پرداختید و الله چیزی را که پنهان میکردید آشکار نمود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Kumbukeni, mlipomuua mtu, mkabishana kuhusu yeye, akawa kila mmoja ajiepushia nafsi yake tuhuma ya kuua na hali Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyafichua yale ambayo mlikuwa mkiyaficha kuhusu kifo cha yule aliyeuawa.