و هنگامی که آیات ما بر او خوانده میشود، متکبرانه روی میگردانَد؛ گویی آن را نشنیده [و] گویی در گوشهایش سنگینی است؛ او را به عذابی دردناک بشارت ده.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na anaposomewa aya za Qur’ani anaupa mgongo utiifu wa Mwenyezi Mungu na anafanya kiburi bila kuzingatia, kama kwamba yeye hakusikia kitu, kama kwamba kwenye mashikio yake kuna uziwi. Na yoyote ambaye hali yake ni hii, mpe bishara, ewe Mtume, ya adhabu kali yenye kuumiza humo Motoni Siku ya Kiyama.