[به آنان گفته میشود:] «به سزای آنکه دیدار امروزتان را فراموش کردید، [عذاب سوزان را] بچشید. یقیناً ما [نیز] شما را [در آتش] رها کردهایم و [اکنون] به سزای آنچه میکردید، عذاب جاودان را بچشید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wataambiwa washirikina hawa kwa njia ya kulaumiwa, watakapoingia Motoni, «Basi onjeni adhabu kwa sababu ya kughafilika kwenu na Akhera na kujiingiza kwenu kwenye ladha za dunia, sisi tutawaacha kwenye adhabu leo, na onjeni adhabu ya moto wa Jahanamu isiyomalizika kwa yale mliokuwa mkiyafanya duniani ya kumkanusha Mwenyezi Mungu na kumuasi.»