[این رویدادها پیش میآید] تا الله راستگویان را به [پاسِ پایمردی و] راستگوییشان پاداش دهد و منافقان را اگر بخواهد [توفیق توبه را از آنان سلب نماید، و در نتیجه،] عذابشان کند یا [برایشان توفیق توبه دهد و] توبهشان را بپذیرد. بیتردید، الله آمرزندۀ مهربان است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ili Mwenyezi Mungu Awalipe mema watu wa ukweli kwa ukweli wao na kujitolea kwao, nao ni Waumini, na ili Awaadhibu wanafiki Akitaka kuwaadhibu, kwa kutowapa taufiki ya kutubia toba ya kidhati kabla ya kufa, hivyo basi wafe kwenye ukafiri na wastahili Moto, au Awape taufiki ya kutubia na kurejea, kwani Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe dhambi za wenye kuzidhulumu nafsi zao, ni Mwingi wa huruma kwao kwa kuwapa taufiki ya kutubia toba ya kidhati.