و الله [سپاه] کسانی را که کفر ورزیدهاند، بىآنكه به غنیمتی دست یابند، با [تمام حسرت و] خشمشان [از اطراف مدینه] برگرداند و الله مؤمنان را از جنگ بینیاز ساخت؛ و الله همواره توانای شکستناپذیر است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Akayarudisha Mwenyezi Mungu mapote ya ukafiri kutoka Madina yakiwa yamepita patupu, yamepata hasara na yamejawa na hasira, hayakupata kheri yoyote duniani wala Akhera, na Mwenyezi Mungu Akawatosheleza Waumini (wasilazimike) kupigana kwa kuwasaidia kwa sababu Alizowatolea. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Hashindwi wala Halazimishwi, ni Mshindi katika ufalme Wake na mamlaka Yake.