و زمینهای کشاورزی و خانهها و اموالشان و [همچنین] سرزمینی را که هرگز به آنجا پا نگذاشته بودید [= خیبر] در اختیار شما نهاد؛ و الله بر هر چیزی تواناست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Akawamilikisha nyinyi, enyi Waumini, ardhi yao, makazi yao na mali yao yanayohamishika kama vile pambo, silaha na wanyama na yasiyohamishika kama vile mashamba, nyumba na ngome zilizojikita. Na Akawarithisha ardhi ambayo hamkuweza kuikanyaga kabla ya hapo. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu, hakuna kinachomshinda.