برای آنان [که قیامت را باور ندارند،] زمین خشک نشانهای [عبرتآموز] است: ما آن [زمین] را زنده کردیم و از [خاک] آن دانههایی رویاندیم که [مخلوقات الهی] از آن میخورند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na ili kuwaonyesha hawa washirikina ushahidi wa uweza wa Mwenyezi Mungu wa kufufua na kukusanya ni hii ardhi iliyokufa isiyo na mimea, tumeihuisha kwa kuteremsha maji, na tukatoa humo aina mbalimbali za mimea ambayo watu na wanyama wanakula. Na Mwenye kuhuisha ardhi kwa mimea Ndiye Atakayehuisha viumbe baada ya kufa.