در حقیقت، کسانی که کفر ورزیدند، اموال و فرزندانشان چیزی از [عذاب] الله را از آنان دور نخواهد کرد و آنان خود هیزم آتش [دوزخ] هستند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika wale waliokanusha Dini ya haki na wakaikataa, hayatawafaa wao mali yao wala watoto wao kuwaepushia chochote katika adhabu ya Mwenyezi Mungu ikiwashukia ulimwenguni, wala hayatawakinga wao na adhabu Yake Akhera. Na hawa ndio kuni za Moto Siku ya Kiyama.