[شیوۀ این کافران] همچون شیوۀ خاندان فرعون و [روشِ] کسانی است که پیش از آنها بودند: آیات ما را تکذیب کردند؛ پس الله آنان را به [سزای] گناهانشان عذاب کرد؛ و الله [نسبت به کافران] سختکیفر است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hali ya makafiri katika kukanusha kwao na adhabu itakayowashukia ni kama hali ya jamaa za Fir’aun na wale makafiri waliokuwa kabla yao. Wao walizikanusha aya za Mwenyezi Mungu zilizo wazi, Mwenyezi Mungu akawapatiliza kwa kuwatesa kwa sababu ya kukanusha kwao na kushindana. Na Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kutesa kwa aliyemkufuru Yeye na kuwakanusha Mitume Wake.