[این پیروزی، برای آن بود] تا [الله] گروهی از کسانی را که کفر ورزیدند، هلاک سازد یا خوار و مغلوبشان نماید تا مأیوس [و خوار به مکه] بازگردند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na ilikuwa nusura ya Mwenyezi Mungu katika vita vya Badr ni kwa ajili Apate kukiangamiza kikundi cha makafiri kwa kuuawa na yule atakayeokoka na kifo kati yao, basi atarudi akiwa na huzuni, upetwe na dhiki za nafsi yake na unaonekana kwake utwevu na aibu.