آن کسانی که در [هنگام] توانگری و تنگدستی انفاق میکنند و خشم خود را فرومیبرند و از مردم درمیگذرند؛ و الله نیکوکاران را دوست دارد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wale ambao wanatoa mali yao katika hali ya wepesi na uzito, na wanaozuia hasira zilizo ndani ya nafsi zao kwa kusubiri, na wanaowasamehe waliowadhulumu wanapokuwa na uwezo. Huu ndio wema ambao Mwenyezi Mungu Anawapenda wenye kuwa nao.