پاداش اینان، آمرزشی از [جانب] پروردگارشان است و باغهایی که از زیر [درختان] آن جویبارها جاری است؛ جاودانه در آن میمانند؛ و پاداش [نیکوکاران و] اهل عمل چه نیکوست!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hao waliosifiwa kwa sifa hizo, malipo yao ni kwamba Mwenyezi Mungu Atayasitiri madhambi yao na watapata mabustani ya Peponi ambayo maji tamu yatakuwa yanapita chini ya miti yake na majumba yake ya fahari, ilhali ya kukaa humo milele; hawatotoka humo kamwe. Na malipo bora ya wenye kutenda mema ni msamaha na Pepo.