[ای آسیبدیدگانِ اُحُد،] بیتردید، پیش از شما [نیز مؤمنانی بودهاند که رنج کشیدند و] سنتهایی گذشته است؛ پس در زمین بگردید و بنگرید که سرانجامِ تکذیبکنندگان [آیات الهی] چگونه بوده است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mwenyezi Mungu Anawazungumzia Waumini walipopatwa na mikasa siku ya vita vya Uhud kwa kuwaliwaza kwamba wamepita kabla yao ummah wengi ambao waumini kati yao walitahiniwa kwa kupigana na makafiri na ukawa ushindi ni wao. Basi, tembeeni katika ardhi mkizingatia yale yaliyowafika wale waliomkanusha Mwenyezi Mungu na na Mtume Wake.