آنان [در برابر مشکلات و در راه اطاعت و ترک گناه] شکیبایی میورزند و [در گفتار و رفتارشان] راستگو هستند و [در برابر اوامرِ الهی] فرمانبردارند و [برای خشنودی باری تعالی] انفاق میکنند و در سحرگاهان آمرزش میطلبند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hawa ndio waliosifika kwa subira juu ya kumtii Mwenyezi Mungu, kuepuka maasia na juu ya shida zinazowafikia zilizokadiriwa na Mwenyezi Mungu. Na ndio waliosifika kwa ukweli wa maneno na vitendo na kutii kikamilifu. Na ndio waliosifika kwa utoaji, wa siri na wadhahiri, na kwa kuleta istighfar: kuomba msamaha, katika mwisho wa usiku, kwa kuwa wakati huo unatarajiwa zaidi kukubaliwa amali na kujibiwa dua.