کسانی که دعوت الله و پیامبر را ـ پس از آنکه [در غزوۀ احد] به آنان جراحت [و سختی بسیار] رسید ـ اجابت کردند [و برای تعقیب مشرکان به سوی «حَمراء الاسد» رفتند]، برای [آن عده از] اینان که نیکی و پرهیزگاری کردند، پاداش بزرگی [در پیش] است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wale waliouitikia mwito wa Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakatoka kuwafuata washirikina mpaka kijiji cha Ḥamrā’ al-Asad baada ya kushindwa katika vita vya Uḥud, pamoja na maumivu na majaraha waliyokuwa nayo, wakafanya upeo wa juhudi zao na wakashikamana na mwongozo wa Mtume wao, basi watenda wema hao na wacha-Mungu hao watapata thawabu kubwa.