این [رویگردانی از حق،] به سبب آن است که [به خیال خام خود] گفتند: «آتش [دوزخ] جز چند روزی به ما نخواهد رسید»؛ و این [افتراها] و دروغهایی که میبافتند آنان را در دینشان فریفته ساخت.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
kujiepusha huko na haki, sababu yake ni itikadi mbaya walionayo Watu wa Kitabu kwamba wao hawataadhibiwa isipokuwa siku chache. Itikadi hii iliwapelekea wao wamfanyiye ujasiri Mwenyezi Mungu na waidharau Dini Yake na waendelee na dini yao ya batili ambayo walijidanganya nayo nafsi zao.