[زکریا] گفت: «پروردگارا، چگونه فرزندی خواهم داشت، حال آنکه پیری به سراغم آمده و همسرم [نیز] نازاست؟» [الله] فرمود: «[امر آفرینش] چنین است [که] الله هر چه بخواهد، انجام مىدهد».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Zakariyyā akasema akiwa na furaha na kwa kustaajabu, «Mola wangu! Vipi nitakuwa na mtoto hali ya kuwa uzee umenifikia hadi ya kunifikia na mke wangu ni tasa, hazai.? Akasema, «Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu Anavyofanya Anayoyataka katika mambo ya ajabu yanayokwenda kinyume na mambo ya kawaida.»