به راستی، کسانی که پس از ایمان خود کافر شدند و بر کفر [خویش] افزودند، هرگز توبۀ آنان پذیرفته نخواهد شد و آنان قطعاً گمراهند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika wale waliokufuru baada ya kuwa wao wameamini na wakaendelea kwenye ukafiri mpaka kufa, haitakubaliwa toba kutoka kwao mauti yakiwasimamia. Na wao ndio waliopotea njia wakakosa kuifikia.