کسانی كه این قرآن را كه براى [هدایت]شان آمده است، انكار كردهاند، [در قیامت عذاب خواهند شد]. این [کلامِ الهی،] كتابى است شكستناپذیر.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika ya wale walioikataa hii Qur’ani na wakaikanusha ilipowajia ni wenye kuangamia na kuadhibiwa. Na hii Qur’ani ni Kitabu kitukufu kwa kuwa Mwenyezi Mungu Amekitukuza na kukitunza na kila ugeuzaji au ubadilishaji.